Jeshi la zimamoto na uokoaji linakabiliwa na uhaba wa vitendea kazi
Jeshi la zimamoto na uokoaji nchini linakabiliwa na changamoto mbalimbali zinazokwamisha jitihada za jeshi hilo katika kutoa huduma za maokozi kutokana na vikwazo vinayotakana na jamii ikiwemo ujenzi holela wa makazi, uchache wa maafisa na askari vitendea kazi pamoja uhaba wa vituo vya zimamoto hapa nchini Kamishna Jenerali wa Jeshi la zimamoto na uokoaji Tanzania
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed